Tuesday, May 7, 2019


"Wewe Mkristo: Kukaa eneo lako la biashara na Kusoma Biblia Yako ni Jambo Zuri pia, Ila Tatizo linakuja pale ambapo unapuuzia kumhudumia vizuri MTEJA wako kwa Sababu ya usomaji wako wa biblia - MTEJA anakuongelesha, lakini Wewe humwangalii usoni, unaongea naye huku unasoma Biblia. Inabidi UBADILIKE Sasa. Usipobadilika, utapoteza Wateja Wako Wote kwa Gharama ya KUPUUZIA Nguvu ya Mahusiano Mema. Tambua ya kwamba, KWA KILA JAMBO KUNA MAJIRA YAKE. Usichanganye mafaili kwa uwamuzi wako mwenyewe halafu ukabaki kuvunja roho za uchawi zinazofukuza Wateja, na wakati Wewe Ndiye mchawi wa Biashara Yako."


@LACKSONTUNGARAZA
Fb.com/ltungaraza
#BiasharaMauzo #LamaxLibrary

0 comments:

Post a Comment

MAKUNDI YA MASOMO YETU

CHAGUA MASOMO HAPA

Powered by Blogger.

ZILIZOSOMWA ZAIDI