Tuesday, May 7, 2019


(I) Itakusaidia katika KUCHAGUA VYEMA Aina ya Vitabu Vitakavyokusaidia katika KUNOA UWEZO ULIYOMO NDANI YAKO-Kipaji, Karama, Kipaji, na Huduma.

VITABU VIPO VINGI SANA Tanzania na duniani kote, lakini SIO VYOTE VIKUFAAVYO, kama vile ambavyo Mwanamke mmoja Hawezi Akamfaa kila Mwanaume kuwa nae katika Ndoa hata kama Kaumbika kwa Namna Nzuri na ya Kupendeza sana – kwa sababu “Uzuri wa Sura Hautafsiri Usafi wa Moyo” –Lamax.

Kwa hiyo jambo la kwanza kabisa kabla ya kuanza USOMAJI WA VITABU NI "KUJITAMBUA."
Usijeukawekeza Nguvu zako nyingi kwenye Kusoma Vitabu vya Ufugaji wa Samaki na Wakati unatakiwa kuwa Mchezaji wa Mpira wa Miguu.

Kumbuka: USIPOJUA UNATAKIWA KUFANYA NINI KWENYE HAYA MAISHA YA HAPA DUNIANI, BASI UNAWEZA UKAPATA TAABU SANA KWENYE ENEO LA USOMAJI WA VITABU.

#Zaidi ya hapo JIPATIE KITABU CHA "NAMNA YA KUSOMA KITABU - How to Read A book" cha LACKSON TUNGARAZA kwa Mfumo wa PDF Leo ili UNUFAIKE zaidi. Unapitwa na mambo mazuri Mengi sana kwa Kutokujua Usomaji mzuri wa Vitabu.


Mawasiliano ya kupata Kitabu: 0764793105, au https://wa.me/255764793105 Kwa WhatsApp.
USHINDWE MWENYEWE.


0 comments:

Post a Comment

MAKUNDI YA MASOMO YETU

CHAGUA MASOMO HAPA

Powered by Blogger.

ZILIZOSOMWA ZAIDI