Wednesday, March 6, 2019


"UKITAKA KUWA MC (Master Of Ceremony) UNAYEPENDWA ZAIDI MJINI, Unapaswa Kuwa na SIFA Mbili Kuu;

(I) Uwezo wa Kuwafurahisha Watu, Hata kama ni kwa Mambo ya Kijinga na Yasiyokuwa na maana.

(II) Uwezo wa Kuwafanya Watu WATOE PESA zaidi (Cash), Hata Kama ni Kwa Kukopa Kwa Majirani zao. Ili hizo Pesa Ziweze Kufidia Gharama zilizotumika Kwenye maandalizi ya Harusi, Sherehe, au Uzinduzi.

Mwonekano wa MC Sio Kigezo Kikubwa sana. Kitafuata mbeleni huko." - LAMAX.


Kwa hiyo, Kama huna hizo Sifa Mbili Kuu, Tafuta Kazi Nyingine ya Kufanya Mjini. Furaha + Pesa ndio Habari ya Mjini kwa Sasa.
@lacksontungaraza

Related Posts:

  • "SIRI ZA MAFANIKIO!" (Lackson Tungaraza) ▪Zipo Siri nyingi sana za Mafanikio zilizokuwepo, zilizopo, na zitakazoendelea Kuwepo Siku zote maadam Watu Wanaendeleo kufanya Tafiti na kufanikiwà. ▪Kufanikiwa Kimaisha hakukuhitaji Kujua kwanza Siri zote za Mafaniki… Read More
  • KUWA MC (Master Of Ceremony) "UKITAKA KUWA MC (Master Of Ceremony) UNAYEPENDWA ZAIDI MJINI, Unapaswa Kuwa na SIFA Mbili Kuu; (I) Uwezo wa Kuwafurahisha Watu, Hata kama ni kwa Mambo ya Kijinga na Yasiyokuwa na maana. (II) Uwezo wa Kuwafanya Watu W… Read More
  • LIVING FOR MANY ONLINE SEMINAR - SEMINA BOMBA YA KIUCHUMIMwenye hekima mmoja alisema ya kwamba,  “sababu ya msingi inayowafanya watu wafeli kwenye maisha ni kutoweka Mipango mipya ya kuwaondoa kwenye Mipango ile ya awali iliyowakwamisha.” Naamini kuna mipango kadhaa uliyop… Read More
  • DEREVA BODABODA NA WAFANYABIASHARA WOTE Siku Moja nikiwa Nyumbani kwa Wazazi Wangu, nilipata nafasi ya kwenda kusema na Vijana wa Shule Jirani ambayo ilikuwa mbali Kidogo. Kwa dhumuni la kuwahi, nikaamua kutafuta Bodaboda (Pikipiki). Baada ya Muda Mfupi, nikaipat… Read More
  • " SIRI ZA MAFANIKIO! " (Sehemu ya Pili) Wakati uliopita tuliangalia namna ambavyo Akili ikitumika ipasavyo inaweza ikamfanya mtu akatumikiwa na wenye nguvu nyingi za Mwilini. Tuliona namna ambavyo Lionel Messi huwatesa Wachezaji wengi wa timu pinzani kwa sababu ya… Read More

0 comments:

Post a Comment

MAKUNDI YA MASOMO YETU

CHAGUA MASOMO HAPA

Powered by Blogger.

ZILIZOSOMWA ZAIDI