Wednesday, March 16, 2016



~ Wanadamu hata siku moja haitawahi kutokea tukawa sawa kimtazamo, kimienendo..never. Unaweza ukajiulza mbona Mimi ninajiheshima, mpole, mvumilivu lakini huyu ndugu yangu ni mkorofi sana, mlevi, mbeya, mzinzi n.k. Hyo ni tofauti kati ya binadamu na binadamu...it's just a matter of time. Naamini hata wewe kuna siku hapo nyuma ulikuwa na vijitabia vibaya sana ila vilikuwa haviko dhahiri, kwa Neema ya Mungu umejitambua.

Sasa katka mazingira kama haya ya kuwa karibu na watu ambao tabia zao zimekuwa mwiba kwako, ufanyeje? Wanakusengenya, wanakudharau, wanakutukana n.k

~ PRACTICE SILENCE! Jaribu kwanzia sasa kuwa Mkimya. Hautapata hasara yoyote kwa kuwa Mkimya hata siku moja. Kwanini uwe Mkimya? Hii itakusaidia kuchota Maarifa mbalmbal kutokana na watu wanaokuzunguka. KIMYA KINGI KINA MSHINDO, Utashangaa baada ya muda fulani umekuwa na maarifa mengi juu ya kukabiliana na watu wenye tofauti za tabia na wewe. Muulize Daudi mtoto wa Yese au Yusufu mtoto wa Yakobo jinsi ukimya ulivyomsaidia kuchota maarifa kutokana na watu waliokuwa wakiishi nao. Maarifa hayo yaliwasaidia sana hata walipokuja kuwa viongozi wakubwa katka taifa la Israeli.

"COIN ALWAYS MAKES SOUND BUT THE CURRENCY NOTES ARE ALWAYS SILENT. SO WHEN YOUR VALUE INCREASES KEEP QUIET" ~Shakespeare.

But try to quiet in certain conditions not all. " THE WORLD SUFFERS A LOT. NOT BECAUSE OF THE  VIOLENCE OF BAD PEOPLE, BUT BECAUSE OF THE SILENCE OF GOOD PEOPLE" ~Napoleon Hill.
Ukimya wako uwe na mipaka..usiache kusema jambo la muhimu la kuleta ukombozi, kwa hekima na maarifa.
~ Naamini utakuwa 'Umechota Maarifa' ya kukusaidia katika maisha yako .


 By Lackson Tungaraza
(+255)-764793105.
www.lacksontungaraza.blogspot.com


Share it  please without editing any of the content.

0 comments:

Post a Comment

MAKUNDI YA MASOMO YETU

CHAGUA MASOMO HAPA

Powered by Blogger.

ZILIZOSOMWA ZAIDI