Wednesday, March 16, 2016



~ Wanadamu hata siku moja haitawahi kutokea tukawa sawa kimtazamo, kimienendo..never. Unaweza ukajiulza mbona Mimi ninajiheshima, mpole, mvumilivu lakini huyu ndugu yangu ni mkorofi sana, mlevi, mbeya, mzinzi n.k. Hyo ni tofauti kati ya binadamu na binadamu...it's just a matter of time. Naamini hata wewe kuna siku hapo nyuma ulikuwa na vijitabia vibaya sana ila vilikuwa haviko dhahiri, kwa Neema ya Mungu umejitambua.

Sasa katka mazingira kama haya ya kuwa karibu na watu ambao tabia zao zimekuwa mwiba kwako, ufanyeje? Wanakusengenya, wanakudharau, wanakutukana n.k

~ PRACTICE SILENCE! Jaribu kwanzia sasa kuwa Mkimya. Hautapata hasara yoyote kwa kuwa Mkimya hata siku moja. Kwanini uwe Mkimya? Hii itakusaidia kuchota Maarifa mbalmbal kutokana na watu wanaokuzunguka. KIMYA KINGI KINA MSHINDO, Utashangaa baada ya muda fulani umekuwa na maarifa mengi juu ya kukabiliana na watu wenye tofauti za tabia na wewe. Muulize Daudi mtoto wa Yese au Yusufu mtoto wa Yakobo jinsi ukimya ulivyomsaidia kuchota maarifa kutokana na watu waliokuwa wakiishi nao. Maarifa hayo yaliwasaidia sana hata walipokuja kuwa viongozi wakubwa katka taifa la Israeli.

"COIN ALWAYS MAKES SOUND BUT THE CURRENCY NOTES ARE ALWAYS SILENT. SO WHEN YOUR VALUE INCREASES KEEP QUIET" ~Shakespeare.

But try to quiet in certain conditions not all. " THE WORLD SUFFERS A LOT. NOT BECAUSE OF THE  VIOLENCE OF BAD PEOPLE, BUT BECAUSE OF THE SILENCE OF GOOD PEOPLE" ~Napoleon Hill.
Ukimya wako uwe na mipaka..usiache kusema jambo la muhimu la kuleta ukombozi, kwa hekima na maarifa.
~ Naamini utakuwa 'Umechota Maarifa' ya kukusaidia katika maisha yako .


 By Lackson Tungaraza
(+255)-764793105.
www.lacksontungaraza.blogspot.com


Share it  please without editing any of the content.

Related Posts:

  • DUNIA NI UWANJA WA MAPAMBANO.Ukubali, Ukatae.. Ukweli unabaki pale pale ya kwamba DUNIA NI UWANJA WA MAPAMBANO. Karibu tupeane Maarifa kidogo hapa, Kujifunza Kitu Kipya Kila Mara ni sifa kubwa ya watu wenye Mafanikio Makubwa maishani. -Binafsi napen… Read More
  • WHY ONLINE SEMINARS? UKWELI JUU YA SEMINA ZA MTANDAONI Natumaini wewe ni mzima wa afya na unaendelea vizuri na shughuli zako za kila siku. Ni jambo jema sana la kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kukupatia siku nyingine tena ukiwa na nguvu tel… Read More
  • SIRI AMBAZO MFANYA BIASHARA HUJAZIJUA  “JINSI YA KUFANYA BIASHARA YAKO KUWA YA TOFAUTI NA YENYE MVUTO MKUBWA”  Tunashindwa kuongeza vipato vyetu kwa sababu biashara zetu hazina mvuto. Tunapoendelea kufungua vyanzo vingine vya vipato kwa kut… Read More
  • MAMBO MATATU MUHIMU YA KUFANYA KIJANA KABLA YA KUANZA KUTAFUTA PESA YA KUFANYA BIASHARA Kijana mwenzangu kabla hujaanza kusumbuka kutafuta pesa kila mahala kwaajili ya biashara.  Kwanza Fanya maamuzi ni biashara gani unayohitaji kufanya, hiyo ni hatua ya kwanza kabisa. Kwanini ufanye uwamuzi kwanza? Ili k… Read More
  • FACEBOOK VS BLOG KIPI NI BORA KWA BIASHARA YAKO? Kumekuwa na sitofahamu juu ya namna ya kutumia mitandao hii katika kukuza biashara. Ndiyo maana nimekuuliza; Kati ya Facebook na Blog, ni kipi bora kwa Biashara yako? Jibu lako litaash… Read More

0 comments:

Post a Comment

MAKUNDI YA MASOMO YETU

CHAGUA MASOMO HAPA

Powered by Blogger.

ZILIZOSOMWA ZAIDI