Wednesday, March 16, 2016



~ Wanadamu hata siku moja haitawahi kutokea tukawa sawa kimtazamo, kimienendo..never. Unaweza ukajiulza mbona Mimi ninajiheshima, mpole, mvumilivu lakini huyu ndugu yangu ni mkorofi sana, mlevi, mbeya, mzinzi n.k. Hyo ni tofauti kati ya binadamu na binadamu...it's just a matter of time. Naamini hata wewe kuna siku hapo nyuma ulikuwa na vijitabia vibaya sana ila vilikuwa haviko dhahiri, kwa Neema ya Mungu umejitambua.

Sasa katka mazingira kama haya ya kuwa karibu na watu ambao tabia zao zimekuwa mwiba kwako, ufanyeje? Wanakusengenya, wanakudharau, wanakutukana n.k

~ PRACTICE SILENCE! Jaribu kwanzia sasa kuwa Mkimya. Hautapata hasara yoyote kwa kuwa Mkimya hata siku moja. Kwanini uwe Mkimya? Hii itakusaidia kuchota Maarifa mbalmbal kutokana na watu wanaokuzunguka. KIMYA KINGI KINA MSHINDO, Utashangaa baada ya muda fulani umekuwa na maarifa mengi juu ya kukabiliana na watu wenye tofauti za tabia na wewe. Muulize Daudi mtoto wa Yese au Yusufu mtoto wa Yakobo jinsi ukimya ulivyomsaidia kuchota maarifa kutokana na watu waliokuwa wakiishi nao. Maarifa hayo yaliwasaidia sana hata walipokuja kuwa viongozi wakubwa katka taifa la Israeli.

"COIN ALWAYS MAKES SOUND BUT THE CURRENCY NOTES ARE ALWAYS SILENT. SO WHEN YOUR VALUE INCREASES KEEP QUIET" ~Shakespeare.

But try to quiet in certain conditions not all. " THE WORLD SUFFERS A LOT. NOT BECAUSE OF THE  VIOLENCE OF BAD PEOPLE, BUT BECAUSE OF THE SILENCE OF GOOD PEOPLE" ~Napoleon Hill.
Ukimya wako uwe na mipaka..usiache kusema jambo la muhimu la kuleta ukombozi, kwa hekima na maarifa.
~ Naamini utakuwa 'Umechota Maarifa' ya kukusaidia katika maisha yako .


 By Lackson Tungaraza
(+255)-764793105.
www.lacksontungaraza.blogspot.com


Share it  please without editing any of the content.

Related Posts:

  • BE A SILENT KILLER*Mwuaji wa Kimya Kimya* Hahahaa... Nakumbuka wakati nilipokuwa nikitazama Movie za Kivietnam. Komando mmoja anatumwa kwenda kuokoa watu zaidi ya Kumi waliochukuliwa mateka huko Vietnam. ⚜Katika harakati zake za kuingia ka… Read More
  • NJIA MPYA YA KUTENGENEZA KIPATO CHA ZIADAHaijalishi una Kazi ama hauna Kazi, kikubwa ni UTAYARI wako pamoja na Kiasi kidogo cha #PESA kuanzia Tsh.4000/= Sasa Unaweza Kutengeneza Kipato cha Ziada (PESA) kupitia Kitabu changu "SITARUDI NYUMA TENA" - Sitaki KUFANIKI… Read More
  • DUNIA NI UWANJA WA MAPAMBANO.Ukubali, Ukatae.. Ukweli unabaki pale pale ya kwamba DUNIA NI UWANJA WA MAPAMBANO. Karibu tupeane Maarifa kidogo hapa, Kujifunza Kitu Kipya Kila Mara ni sifa kubwa ya watu wenye Mafanikio Makubwa maishani. -Binafsi napen… Read More
  • UNAMALIZAJE HUU MWAKA WA 2017?? Kati ya maeneo ambayo huwa yanawatia watu Joto Kubwa ni eneo la Umalizaji. Umalizaji huu huenda mbali zaidi katika mchezo wa Mpira, katika Utumishi, kwenye Chumba cha Mitihani, kwenye Ndoa, Uchaguzi Mkuu n.k... Eneo hili hu… Read More
  • JE UNAJIKUBALI...! #KUJIKUBALI NI HATUA KUBWA SANA NA YA KWANZA KATIKA MAISHA ILI MTU AWEZE KUFURAHIA UUMBAJI WA MUNGU. #Hivi unamkubali kwa asilimia ngapi huyo unayemwona kwenye Kioo unapojiangalia? #Kuna waliojikatia tamaa kabisa, hawata… Read More

0 comments:

Post a Comment

MAKUNDI YA MASOMO YETU

CHAGUA MASOMO HAPA

Powered by Blogger.

ZILIZOSOMWA ZAIDI