Wednesday, May 8, 2019


Mtu anakwambia "HII FURSA HAIKUHITAJI KUFANYA KAZI KWA BIDII. WEWE UKISHAJIUNGA, MAMBO MENGINE YOTE TUTAKUFANYIA SISI." Hapo Umeliwa.
VIJANA Wengi sana wa kitanzania HATUPENDI KUFANYA KAZI KWA BIDII NDIO MAANA HUWA TUNAKAMATIKA KIRAHISI SANA.

Na hiyo ni sababu kubwa sana ya BIASHARA YA KUBETI KUSHIKA SANA KASI NCHINI MWETU. Kila Siku unasikia namna mpya ya Kubeti.

#Zaidi ya Yote: Ikiwa Unataka Elimu kama hizi za biashara na Fursa, JIPATIE KITABU CHA "MBINU 16 ZA KUONGEZA MAUZO KWENYE BIASHARA YAKO" kwa Gharama nafuu kabisa. Njoo WhatsApp kwa kubofya hii LINK ili kupata Kitabu: https://wa.me/255764793105.

Related Posts:

  • "SIRI ZA MAFANIKIO!" (Lackson Tungaraza) ▪Zipo Siri nyingi sana za Mafanikio zilizokuwepo, zilizopo, na zitakazoendelea Kuwepo Siku zote maadam Watu Wanaendeleo kufanya Tafiti na kufanikiwà. ▪Kufanikiwa Kimaisha hakukuhitaji Kujua kwanza Siri zote za Mafaniki… Read More
  • FIKIRIA NJE YA BOX All the so-called 'Secrets of Success' will not work unless you do--Unknown. Siri za mafanikio ni nyingi sana na utaendelea kuzisikia na kuzisoma sehemu mbali mbali.. Mtandaoni, magazetini, vitabuni nk..... Sidhani kama k… Read More
  • JIPATIE VITABU_BORA_2019. Kitabu cha Kwanza: "MBINU 16 ZA KUONGEZA MAUZO KWENYE BIASHARA YAKO.". - Ndani ya Kitabu hiki Utapata Mbinu 16 za uhakika za Kukusaidia katika Kuongeza Mauzo (SALES) kwenye Biashara Yako yo yote Ile uifanyayo Mtan… Read More
  • KUWA MC (Master Of Ceremony) "UKITAKA KUWA MC (Master Of Ceremony) UNAYEPENDWA ZAIDI MJINI, Unapaswa Kuwa na SIFA Mbili Kuu; (I) Uwezo wa Kuwafurahisha Watu, Hata kama ni kwa Mambo ya Kijinga na Yasiyokuwa na maana. (II) Uwezo wa Kuwafanya Watu W… Read More
  • DEREVA BODABODA NA WAFANYABIASHARA WOTE Siku Moja nikiwa Nyumbani kwa Wazazi Wangu, nilipata nafasi ya kwenda kusema na Vijana wa Shule Jirani ambayo ilikuwa mbali Kidogo. Kwa dhumuni la kuwahi, nikaamua kutafuta Bodaboda (Pikipiki). Baada ya Muda Mfupi, nikaipat… Read More

0 comments:

Post a Comment

MAKUNDI YA MASOMO YETU

CHAGUA MASOMO HAPA

Powered by Blogger.

ZILIZOSOMWA ZAIDI