Monday, March 4, 2019


Siku Moja nikiwa Nyumbani kwa Wazazi Wangu, nilipata nafasi ya kwenda kusema na Vijana wa Shule Jirani ambayo ilikuwa mbali Kidogo. Kwa dhumuni la kuwahi, nikaamua kutafuta Bodaboda (Pikipiki). Baada ya Muda Mfupi, nikaipata na kuanza safari ya Kuelekea huko Shuleni. Nilipofika, nikamlipa Jamaa PESA Yake, na "kumwomba Namba za Simu" Ili nije nimshitue anifuate baadae.

Tatizo Mojawapo walilonao Watu wa Bodaboda ni "KUTOKUWAPATIA WATEJA NAMBA ZAO ZA SIMU (Mawasiliano)" Kabla ya Kuombwa. Wengi Wanaishi kwa MAZOEA ya Karne ya Kumi na Tisa - Wanataka Wawe Wanatafutwa na Wateja Mara kwa Mara kama vile Dhahabu za Geita.

Baada ya Kupata namba za Simu za Yule Jamaa wa Bodaboda, Nilikuwa namwita mara kwa mara kupitia Simu Anipeleke ninapohitaji. Ikiwa na maana ya kwamba, Alinufaika sana kwa kunipatia namba zake za Simu nilizomwomba badala ya Kunipatia Yeye Mwenyewe. Kumbuka; Wakati huo Ananifuata Nyumbani, wenzake Walikuwa Wamekaa tu VIJIWENI Wakisubiria WATEJA.

Cha Mwisho nilichomshauri Yule Jamaa wa Bodaboda ni "UMUHIMU WA KUWA NA KADI BIASHARA/ KADI KAZI (Business Card)." Nilimwambia, "Business Card" itamsaidia Kuondokana na Tatizo la Kutaja namba zake Kila Wakati, au Kuwaandikia namba kwenye Makaratasi. Na Pia Itamfanya Aonekane Anajitambua, na Anaithamini sana KAZI Yake (Professionalism).

NAWE UNAYEFANYA BIASHARA YA BODABODA au BIASHARA yo yote Ile, nakushauri sana Uwe na "Business Card" - Kitambulisho Chako cha Kibiashara [ambacho Sio cha Kiserikali. Bali ni cha Kukutambulisha Wewe na Biashara Yako].

Kupitia "Business Card", WATU wataijua kwa Urahisi Biashara Yako Mahali Ilipo "physically" na Mitandaoni.

KARIBU SANA KWENYE KAMPUNI YA "LAMAX DESIGNS" UPATE HUDUMA YA "BUSINESS CARD" NZURI NA BORA ZAIDI. Ndani ya Lamax Designs UNAPATA UNACHOSTAHILI.

LAMAX DESIGNS: Providing You What You Deserve.




NJOO LEO UHUDUMIWE.
Mawasiliano! 0764793105

Kumbuka! UTAFUNDISHWA PIA NAMNA YA KUITUMIA "KADI BIASHARA" (Business Card) Yako.

AMUA LEO KUWA WA TOFAUTI. @lacksontungaraza

Related Posts:

  • FIKIRIA NJE YA BOX All the so-called 'Secrets of Success' will not work unless you do--Unknown. Siri za mafanikio ni nyingi sana na utaendelea kuzisikia na kuzisoma sehemu mbali mbali.. Mtandaoni, magazetini, vitabuni nk..... Sidhani kama k… Read More
  • NJIA MPYA YA KUTENGENEZA KIPATO CHA ZIADAHaijalishi una Kazi ama hauna Kazi, kikubwa ni UTAYARI wako pamoja na Kiasi kidogo cha #PESA kuanzia Tsh.4000/= Sasa Unaweza Kutengeneza Kipato cha Ziada (PESA) kupitia Kitabu changu "SITARUDI NYUMA TENA" - Sitaki KUFANIKI… Read More
  • MY HAPPY BIRTHDAY MESSAGE TO YOUUsisubiri hadi Uzeeke, ndipo uanze kupata hamasa ya kutimiza ndoto... Rasilimali kubwa uliyonayo sasa ni Kwamba wewe ni kijana, unanguvu nyingi, afya njema. Usitumie nguvu zako vibaya katika kufanya mapenzi kiholela... Kadri … Read More
  • KWAKO KIPENZI CHANGUNinayaandika haya nikiwa na majuto makubwa sana ndani yangu, kiasi cha Kuona ya kwamba dunia nzima inafahamu historia yangu. Sikutaka kuyaandika haya, ila sipendi uendelee kuteseka kwa sababu yangu. Licha ya kwamba kwa sas… Read More
  • FIND_SOMETHING_TO_DIE_FOR_THAN_TO_LIVE_FOR FANYA JAMBO la Kumfanya MUNGU azidi Kuona  Umuhimu wa Kukuacha Uendelee kuwa HAI hapa duniani. JAMBO la Kumfanya MUNGU aone KUNA PENGO wakati  wa Kuugua Kwako (Kupatwa na Magonjwa) ili AKUPONYE HARAKA URUDI… Read More

0 comments:

Post a Comment

MAKUNDI YA MASOMO YETU

CHAGUA MASOMO HAPA

Powered by Blogger.

ZILIZOSOMWA ZAIDI