Saturday, October 1, 2016


 “JINSI YA KUFANYA BIASHARA YAKO KUWA YA TOFAUTI NA YENYE MVUTO MKUBWA”


 Tunashindwa kuongeza vipato vyetu kwa sababu biashara zetu hazina mvuto.

Tunapoendelea kufungua vyanzo vingine vya vipato kwa kutumia mbinu zile zile, tunaendelea kufeli zaidi na hata kukata tamaa kwa sababu ya kukosa wateja kwa kile tunachokifanya

 Hivyo badala ya kukimbilia mikopo kwa ajili ya kuanzisha biashara nyingine, ni bora tukajifunza mbinu za kuifanya biashara yako kuwa ya tofauti na Mvuto Mkubwa kwa Wateja

 Biashara inapokuwa na Mvuto na Utofauti ni rahisi sana kupata Wateja na pato lako kuongezeka

JE! UNAPENDA KUENDELEA NA SOMO HILI?
Haina shida, pakua hapa chini ili ujisomee hata ukiwa hauna intaneti.
PAKUA SOMO ZIMA HAPA (Download)

Kuwa rafiki yangu facebook: www.facebook.com/ltungaraza
 0764793105 [Mawasiliano]

Related Posts:

  • SIRI AMBAZO MFANYA BIASHARA HUJAZIJUA  “JINSI YA KUFANYA BIASHARA YAKO KUWA YA TOFAUTI NA YENYE MVUTO MKUBWA”  Tunashindwa kuongeza vipato vyetu kwa sababu biashara zetu hazina mvuto. Tunapoendelea kufungua vyanzo vingine vya vipato kwa kut… Read More
  • BE A SILENT KILLER*Mwuaji wa Kimya Kimya* Hahahaa... Nakumbuka wakati nilipokuwa nikitazama Movie za Kivietnam. Komando mmoja anatumwa kwenda kuokoa watu zaidi ya Kumi waliochukuliwa mateka huko Vietnam. ⚜Katika harakati zake za kuingia ka… Read More
  • FACEBOOK VS BLOG KIPI NI BORA KWA BIASHARA YAKO? Kumekuwa na sitofahamu juu ya namna ya kutumia mitandao hii katika kukuza biashara. Ndiyo maana nimekuuliza; Kati ya Facebook na Blog, ni kipi bora kwa Biashara yako? Jibu lako litaash… Read More
  • WHY ONLINE SEMINARS? UKWELI JUU YA SEMINA ZA MTANDAONI Natumaini wewe ni mzima wa afya na unaendelea vizuri na shughuli zako za kila siku. Ni jambo jema sana la kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kukupatia siku nyingine tena ukiwa na nguvu tel… Read More
  • MTAJI KWA KIJANA NI UPI...! Proudly Sponsored by N.Y.I MOVEMENT *Join and Be part of the Change*. Kuna mambo mbali mbali ambayo wewe kama Kijana mwenzangu unaweza fanya pasipokuwa na pesa kubwa Bali hiyo hiyo uliyonayo hapo .... Akili, maarifa… Read More

0 comments:

Post a Comment

MAKUNDI YA MASOMO YETU

CHAGUA MASOMO HAPA

Powered by Blogger.

ZILIZOSOMWA ZAIDI