Sunday, August 5, 2018

- Miongoni mwa Watu ambao JAMII inawategemea kwa asilimia Kubwa ili Kuiletea Maendeleo CHANYA, ni Wanafunzi wa Vyuoni. Karne zimebadilika, Jamii nayo Imebadilika sana. Ile Hadhi ambayo Wanafunzi wa Vyuoni Walikuwa nayo Machoni pa Wanajamii kwa Miaka Kama Kumi na Mitano Iliyopita, Sio kama ya Sasa. Hadhi Yao Imepungua sana kwa sababu ya MIENENDO Yao Wawapo Vyuoni na Wamalizapo MASOMO Yao na Kurudi Kuishi ndani ya Jamii Waliyoiacha hapo Awali.

Ndani ya KITABU CHA "MWANACHUO DIARY" kuna FUNGUO Za Kukusaidia;

(I) WEWE UNAYETARAJIA KUINGIA CHUONI
-[Ufahamu mambo ya Muhimu sana kabla ya Kuingia Chuoni-Kinga ni BORA kuliko TIBA].

 #Mfano;
Sababu zinazowafanya VIJANA Wengi kuwa na MIENENDO Mibaya Mara baada ya Kuingia Vyuoni,
Changamoto ambazo Kijana anakutana nazo Wakati anapoingia Chuoni N.K


(II)WEWE ULIYEPO CHUONI
-[Mambo Kadhaa Uwezayo Kufahamu na Kufanya na Ukawa na MAFANIKIO Makubwa Kielimu na Kimaisha].

#Mfano;

- Supplementary, Carry_Over na Discontinuity
-[kwa Mtazamo wa Kimaisha kwa Ujumla.]

- MATUMIZI Mazuri ya FEDHA ya Kujikimu (Boom).
-Utakutana na Shuhuda za Mwandishi, namna alivyoitumia hiyo FEDHA Kukuza Tasnia Yake ya UANDISHI na Kukua KIUCHUMI N.k

- Chagua Kujiajiri, Kuajiriwa, Kuajiri Wengine au Mchanganyiko.
- [ NONDO Za Kukusaidia Kufanya MAAMUZI Yako Kwa Usahihi.] N.K


(III)WEWE UNAYEONDOKA CHUONI.

#Mfano:

- Sababu za Vijana Wengi Kukosa AJIRA
- Cha Kufanya ili Ukue  KIUCHUMI Karne Hii
- Kilio cha Ukosefu wa MTAJI nchini.
- Kwanini Watu hawafanikiwi Kwenye MAISHA Yao ya Kila Siku. N.K


PIA KUNA UZOEFU NA MAONI YA WANAVYUO MBALI MBALI NCHINI
- [Juu ya Maisha waliyoyapitia Vyuoni, na Waliyokumbana nayo Mtaani baada ya Kuhitimu Masomo Yao.]


(IV)WEWE MWANAJAMII (Mzazi, Mlezi, Ndugu, Jamaa, Serikali Nk) Kujua Mchango Wako kwa Wanavyuo
-Mzazi Unaweza kukisoma Ili Upate MAARIFA ya Kuwasaidia Watoto Wako na Wote Wakuzungukao.

NI KITABU RAFIKI KWA KILA APENDAYE MAARIFA.
-Unapokuwa unasoma KITABU hiki unakuwa unasoma Maisha ya Watu Halisi na Kupata LADHA Orijino.
MWANACHUO DIARY

PATA KITABU HIKI ORIJINO, HAZINA YA VIZAZI VYOTE. Kina SEHEMU NNE.
Mawasiliano! 0764- 793105/0656-107242.
LACKSON TUNGARAZA.


KUHUSU MWANDISHI;
LACKSON TUNGARAZA ni Mjasiriamali kwa Sehemu, Mwamasishaji, Mhubiri, Mwanzilishi wa LAMAX QUOTES, Mwanzilishi na Rais wa Huduma (NYI), na Mwandishi wa VITABU Kadhaa Ikiwa ni Pamoja na kile Kiitwacho ' #SITARUDI_NYUMA_TENA' ambacho kilianza Kusambazwa Nchini Oktoba 2017.
-Alikuwa akifundisha Masomo ya Ujasiriamali ICE FM Redio ya Njombe Katika Kipindi cha 'Bodaboda Chukua Utulivu' cha Kila Alhamis Asubuhi, na Pia kuandikwa katika Gazeti la "THE CITIZEN."
-Tangu akiwa Mwaka wa Kwanza Chuoni UDOM alikuwa hapendezwi sana na Maisha ya Wanavyuo; Matumizi Yao ya Kifedha, Tabia, Hali zao za Kimahusiano... Ndani Yake akawa anaumia sana Lakini hakupata Namna Nzuri ya Kufanya Maumivu hayo kuwa Elimu. Watu Wengi  huwa Wanaenda Vyuoni na Kutoa Elimu kwa Muda Mfupi na Kuondoka na Kuwaacha Wanavyuo Wakiwa na Shida na Maswali Kibao. Alipokuwa "FIELD" Mwaka wa Kwanza Chuoni CIVE-UDOM, alianza Kuandaa Pointi za Msingi katika 'DIARY' Yake na Kisha Kuanza Kuandika Hatua kwa Hatua. Na Sasa KITABU chake cha MWANACHUO DIARY Kipo Nchini kwa ajili Yako. KITABU hicho ni Mjumuisho wa Maisha Yake, ya Wengine, Pamoja na Tafiti mbali mbali.

Zaidi:
Fb.com/ltungaraza na
https://lacksontungaraza.blogspot.com

#UNAPANGAJE KUKOSA KITABU CHA "MWANACHUO DIARY"?

-JIPATIE SASA NAKALA YAKO MAPEMA.
Mawasiliano! 0764- 793105/0656-107242.

0 comments:

Post a Comment

MAKUNDI YA MASOMO YETU

CHAGUA MASOMO HAPA

Powered by Blogger.

ZILIZOSOMWA ZAIDI