Monday, August 6, 2018

Tangu Uanze kuvunja Laana za UMASKINI, huu ni Mwaka wa ngapi, na Je Umeshaanza kuwa TAJIRI?

Kabla ya Kuanza au Kuendelea tena na Uvunjaji Wako wa Laana za UMASKINI, Tathimini Kwanza ni kwa Jinsi Umejitoa Kulipa Gharama za kuwa TAJIRI; Muda, Nguvu, Fursa, Maarifa, Pesa N.k
... Je Umeshahudhuria Semina ngapi za Kiuchumi-za bure na za Kulipia,?
... Umeshasoma VITABU vingapi vya Kukusaidia Katika eneo Unalotaka Kufanikiwa Kiuchumi,?
... Umeshajifunza kwa Watu gani Waliyokutangulia,?
... Umeshaanza Kufanya mangapi tangu Umalize Kusoma Vitabu na Kuhudhuria Semina Za Kiuchumi,?
... Matumizi Yako  ya Kifedha Yakoje -Nidhamu ya Mapato na Matumizi,?
... Matumizi Yako ya Muda Yakoje - Tangu Unapoamka hadi Unaporudi Kulala,?
... Umetumiaje FURSA ya Kifedha zinazokuzunguka,? Mfano Kutatua Matatizo na Changamoto zilizopo kwenye Jamii Yako; Maji, Chakula, Usafiri, Elimu N.K.
... Umejitoa Kwa Kiasi gani Kujifùnza kwenye Makosa Yako ya Awali,? - Kulalamika na Kuwalaumu Wengine hakuleti Msaada wo Wote.
... Unatumiaje Teknolojia ya Sasa katika Mambo Yako ya KIUCHUMI,?
- "Ukiendelea Kuishi Wakati huu Sasa kama zamani, Utapata Shida sana Kufanikiwa Kiuchumi. Kila Msimu Mpya Unapoingia, Jaribu Kubadilika kiMalengo na Kimkakati, lakini ubaki kwenye MAONO Yako."
- Lamax.

... Je, Una MAONO Yaliyoandikwa,?
- Maono Ni dira ya Maisha Yako... ni Wapi Uelekee na namna gani Uelekee huko.
- "Pasipo Maono WATU HUACHA KUJIZUIA"

... Je, Una Mipango na Mikakati gani ya Kujikomboa Kiuchumi,? - Hii inafuata baada ya Kuwa na Maono Yaliyoandikwa.

Baada ya hapo, ndipo Uendelee au Uache Mambo Yako ya KUVUNJA LAANA ZA UMASKINI. Inawezekana UJINGA Wako ndio Unaowapatia UTAJIRI na UMAARUFU Wale Mitume na Manabii wa Uongo.

. Life Is a Choice
   You Live What you Decide.
  . LACKSON TUNGARAZA

Related Posts:

  • UNAKIMBIA KWA STAILI GANI? Moja ya tafsiri za Maisha nilizowahi kuzisoma na kuzisikia ni kwamba Maisha ni Mbio. Cha kujiuliza, “Unakimbizana na nani?” Nimegundua ya kwamba Maisha ni Mbio ambayo Mshindani ni wewe mwenyewe… unajipulizia mwenyewe kipen… Read More
  • JE KIJANA UNAHAMU YA KUWA NA MAISHA YENYE FURAHA NA MAFANIKIO? Ni haki yako Kijana Mwenzangu kuwa na Maisha yenye furaha na Mafanikio. Tumia ushauri ufuatao ili uweze kufikia lengo hilo; … Read More
  • PATA MAARIFA KWA KUWA MKIMYA ~ Wanadamu hata siku moja haitawahi kutokea tukawa sawa kimtazamo, kimienendo..never. Unaweza ukajiulza mbona Mimi ninajiheshima, mpole, mvumilivu lakini huyu ndugu yangu ni mkorofi sana, mlevi, mbeya, mzinzi n.k. Hyo … Read More
  • UMUHIMU WA RATIBA KATIKA MAISHA YAKO Maisha ya Mwanadamu yana mwanzo na mwisho, ikiwa na maana ya kwamba kuna kuzaliwa na kufariki. Lakini katikati ya kuzaliwa na kufariki kuna mambo ambayo Mwanadamu anatakiwa afanye ili aweze kustahimili hali ya kimwili na… Read More
  • LIFE IS A PROCESS [Maisha Ni Mlolongo Wa Mambo] Ni nini maana ya neno ‘Maisha?’ Kila mtu anaweza kutoa maana ya neno Maisha kwa yale aliyoyapitia, anayoyapitia au anayotarajia kukutana nayo mbeleni. Maisha yanamaana nyingi sana na kulingana na mtazamo wa kila mtu, ja… Read More

0 comments:

Post a Comment

MAKUNDI YA MASOMO YETU

CHAGUA MASOMO HAPA

Powered by Blogger.

ZILIZOSOMWA ZAIDI