Thursday, September 8, 2016


 Kwa kawaida kila mtu huwa anatamani na anapenda ya kwamba akitenda jambo, baadae Akumbukwe kwalo. Ikiwezekana hata watu kadhaa watoe shuhuda za jambo hilo. This a human character.



Unataka kukumbukwa kwa lipi? Kwa kawaida, katika misiba huwa wanapewa watu kadhaa kuongea juu ya maisha ya marehemu, siyo watu wote.... Nadhani ulishashuhudia hilo, kama bado nenda kahudhurie mazishi.

Chukulia sasa, wewe ndiye uko kwenye Jeneza na watu wafuatao wakapewa nafasi ya kusema juu yako-Historia ya marehemu. Watu hao ni;
Nduguzo/Familia-Kaka, Dada, bibi, babu, watoto, shangazi n.k..
Rafiki yako wa Karibu
Mwanafunzi/ Mfanyakazi mwenzio
Mhumini mwenzio-Unayesali naye.
Mkeo

Kwa kiasi kikubwa, hawa ndiyo watu wanaokujua zaidi kulko wale unaokaa nao kijiweni, sokoni, mkutanoni n.k.

Unapenda waseme nini kuhusu wewe?
Anza sasa Kuandika Historia ya marehemu {mtarajiwa, ambaye ni wewe }.
‼Unachoishi na Kutenda, ni sehemu ya historia yako. Andaa historia yako kuanzia sasa.


Remember that:

The fact that you were born is evidence that God knew earth needed the potential you are pregnant with.
The price of greatness is responsibility.

*The graveyards are full of great men and women who never became great because they didn't give their ability responsibility.*

#How can you rest in peace if you died with all your potential inside?
What lies behind you is History and what lies before you is Future, but these are both tiny matters compared to what lies within you.

SOMA: SIRI INAYOVUTA MAFANIKIO

#You may not be able to change your past, and your future is yet unlived, but the present provides you with opportunities to maximize your life and the ability that lives within you. You must take responsibility for your ability --no 0ne else can do it for you.

#NAIONA_TANZANIA_MPYA.
MIMI NI MSHINDI KAMA WEWE ULIVYO.

Zaidi, Soma Katika link hii:


0764793105 WhatsApp

Related Posts:

  • MTAJI KWA KIJANA NI UPI...! Proudly Sponsored by N.Y.I MOVEMENT *Join and Be part of the Change*. Kuna mambo mbali mbali ambayo wewe kama Kijana mwenzangu unaweza fanya pasipokuwa na pesa kubwa Bali hiyo hiyo uliyonayo hapo .... Akili, maarifa… Read More
  • WHY ONLINE SEMINARS? UKWELI JUU YA SEMINA ZA MTANDAONI Natumaini wewe ni mzima wa afya na unaendelea vizuri na shughuli zako za kila siku. Ni jambo jema sana la kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kukupatia siku nyingine tena ukiwa na nguvu tel… Read More
  • MAMBO MATATU MUHIMU YA KUFANYA KIJANA KABLA YA KUANZA KUTAFUTA PESA YA KUFANYA BIASHARA Kijana mwenzangu kabla hujaanza kusumbuka kutafuta pesa kila mahala kwaajili ya biashara.  Kwanza Fanya maamuzi ni biashara gani unayohitaji kufanya, hiyo ni hatua ya kwanza kabisa. Kwanini ufanye uwamuzi kwanza? Ili k… Read More
  • NJIA ZA KUJENGA KUJIAMINI NDANI YAKO KUJIAMINI Ni uwezo wa kuwa na uthubutu juu ya mambo pasipo kuwa na hofu wala uwoga, wala kutegemea msukumo kutoka kwa ndugu, jamaa au rafiki. Kujiamini kunaweza kujengeka ndani ya mtu kwa: Uwamuzi Binafsi. Nadhani … Read More
  • JICHUNGUZE, JITATHMINI, JITAMBUE. Karibu sana rafiki yangu mpendwa katika mfululizo wa masomo yangu kwa njia ya mtandao. Wakati uliyopita, nilifundisha juu ya MTAJI KWA KIJANA NI UPI!! Maana neno MTAJI limekuwa maarufu sana kwetu vijana hasa katika karne h… Read More

0 comments:

Post a Comment

MAKUNDI YA MASOMO YETU

CHAGUA MASOMO HAPA

Powered by Blogger.

ZILIZOSOMWA ZAIDI